Tuesday, December 25, 2012

HAKI LIVE: Vyakula vya kuongeza NGUVU ZA KIUME kwa uwezo wa ALLAH inshaallah,,pata TIBA HIYO IKIWA NI SEHEMU YA KWANZA(part one)

HAKI LIVE: Vyakula vya kuongeza NGUVU ZA KIUME kwa uwezo wa ALLAH inshaallah,,pata TIBA HIYO IKIWA NI SEHEMU YA KWANZA(part one)

~~MADHARA YA SIMU ZA MCHINA

~~MADHARA YA SIMU ZA MCHINA
(KENYA, UGANDA ZAPIGWA
MARUFUKU)~~
A/Alleykum, Uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa
simu nyingi za kichina hazina viwango
vya FCC , hivyo kwa kuwa nyingi
hutengenezwa kupitia viwanda vidogo
vidogo huingizwa nchini kwa njia ya
magendo. Utafiti huu unaweza kudhibitika kwa
yafuatayo. 1. Simu nyingi hazina majina halisi,
nyingi zina chip inaitwa MTK, Spedrum,
Infineon ambazo ni chip nyepesi sana
ambazo hazihimili kiwango cha umeme
kwa siku nyingi, ndio maana simu
nyingi uganda wakati wa kuwashwa Utakuta simu inaitwa nokla, samsung,
ipone, ilimradi tu iweze kushaabihiana
na original. 2. Simu hivi zina madini hatari sana
ambayo yanaitwa li-ione ambayo
yanatengeneza muwako ambao
unaweza kuunguza au kutumika
kutengeneza mabomu. Madini hayo
huwekwa kwenye batery ya kichina ambazo sio imara kwani
zimetengenezwa kwa kuzungushia
karatasi nyepesi. 3. Viwango vya spika sio sahii kwani
vinaweza kumfanya mtu awe kiziwi
akitumia simu hizi kwa muda mrefu. 4. kwa kuwa simu nyingi zina vioo vya
touch sceen, au shika shika vioo hivi
huharibika mara kwa mara hivyo
mafundi wengi wanaotumia dawa ya
kubandua kioo na kubandika
huungua mfumo wa uvutaji hewa kwani dawa hii (soldering Paste)mafuta
haya yanasumu kali. 5. Utafiti unaonyesha Tanzania inatumia
kiasi kikubwa cha fedha za kigeni
kuagiza bidhaa mbovu za simu,
ambazo hudumu muda mfupi. 6. Simu hizi zimeongeza mianya ya
rushwa upande wa TRA na TBS kwani
ndio wanaoruhusu bidhaa hii mbovu
mbovu. 7. Imeyakatisha tamaa makampuni
makubwa yanayolipa kodi kama vile
Samsung, Nokia, Siemens, Iphone ,Sony
Ericsson kwani simu nyingi zimeigwa
kwa kutumia ujuzi wa kampuni hizi. 8. Mafundi walipa kodi na wenye vipaji
wameanza kupotea kwani kazi hii
imeonekana kudharaulika, kwa kuwa
ukitengeneza simu hizi unatengeneza
ugomvi na wateja wako kwani kila siku
matatizo hayaishi. 9. Simu hizi zinaongeza wizi wa
mitandao kwa kuwa nyingi zina chip
ambazo hazitambuliki kimataifa hivyo
kuziingiza kwenye mtandao wa
kudhibiti vyombo hivi kuwa mgumu,
kwani no. zinazotambulika ni MSID na ICCID au PIN au product Code No.
Namalizia kwa kusema basi kama
hatuwezi tuige mfano wa Kenya na
Uganda wamezipiga marufuku.....sh
ukraan Wrote by Akhiy

je mnachukuliaje suala hli ambalo tetesi zilizopo ni kwamba tanzania
nako watazifungia japo ni muda kdogo umepita,toa MAONI YAKO

Vyakula vya kuongeza NGUVU ZA KIUME kwa uwezo wa ALLAH inshaallah,,pata TIBA HIYO IKIWA NI SEHEMU YA KWANZA(part one)

Assalaam alaykum,ama baada ya salamu ningependa kumshukuru Allah kwa
kunijaalia afya na kunipa uwezo wa kuweza kukutana nanyikatika makala
hii.Leo ninaongelea tatizo ambalo linawakabili wanaume weng siku hizi
,suala la kupungukiwa na nguvu za kiume ikiwa ni tatizo linaloweza
kusababishwa na upigaji wa punyeto ama utumiaji wa vyakula vyenye
kemikali nyingi,kutokana na hayo imesabisha ongezeko la wanaume wenye
matatizo hayo bila kupata ufumbuzi na kuishia kupata tiba za kienyeji
ambazo husababisha madhara na kuishia kujuta ,kwa maana hyo
ningewashauri ku2mia vyakula vifuatavyo ili kuweza kuikabili hali hyo
ya upungufu wa nguvu za kiume,...VYAKULA VYENYE KUONGEZA NGUVU ZA
KIUME:-


.1.PILIPILI-Pilipili
unaweza kula hvyo hvyo au kuchanganya kwenye chakula inasaidia sana
.
2.TIKITIKI MAJI-Tikitiki maji unaweza
kulila kama tunda au kukamua juis yake ni zuri xana

.3.PARACHICHI-Parachichi ni tunda rahisi sana kupatikana japo kuna
misimu ambayo huuzwa ghali lakini linasaidia xana katika kuongeza
nguvu za kiume
.
4.CHOKOLATE-Chocolate wengi wa wanaume huidharau na kuona kama
wanawake na watoto ndio pekee wanaostahiki kula bila ya kufahamu kuwa
ina faida kwao,hivyo inapendeza kupata japo kwa wiki mara tatu

.5.MAJI YA KUNYWA-inapendeza kunywa maji mengi kwa siku
na mtu ajitahidi anywe hata zaidi ya lita tanao kama walivyoshauri
wataalam wa mambo hayo. . . .itaendelea inshaallah kwa mawali coment
hapo na utasaidika . .. . .
NB.Epuka
kufanya zinaa na usithubutu kwani ALLAH aliyetukuka amekataza katika
Quran kwa kusema -.na wala msiikaribie zinaa.-

Monday, December 3, 2012